Saturday, March 1, 2014

KITUO KIPYA CHA DALADALA UBUNGO

Kituo kipya cha daladala kilichopo eneo la Migombani jirani na jengo la mawasiliano kitakachochukua nafasi ya kituo cha ubungo. Kinatarajiwa kuanza kutumika mwishoni mwa mwezi huu baada ya kukamilika sehemu kubwa.



Ujenzi wa kituo hicho ambao ulianza mwaka jana umekamilika kwa asilimia kubwa huku manispaa ya kinondoni ikiwa na lengo la kuongeza nafasi kwaajili ya maeneo ya wafanya biashara. Hayo yamesemwa na meya wa manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda baada ya kikao cha baraza la madiwani wa manspaa hiyo kilichofanyika jijini Dar es Salaam.

TOYOTA ALTEZZA INAUZWA / FOR SALE


Bei/Price : Mil 9.5
Negotiatable
Serious buyers call :0655480590
 
© Bongo Ride - All Rights Reserved. Developed by Classic Sean and Kicbjamii
Top